Mtanzania Akamatwa na Madawa ya Kulevya Uwanja wa Ndege South Africa

Mwanaume mmoja aliyekuwa anasafiri kutokea Tanzania amekamatwa na madawa ya kulevya katika uwanja wa ndege wa Oliver Tambo nchini Afrika Kusini.

Inadaiwa madawa hayo ya kulevya aliyokamatwa nayo, yana thamani ya Randi milioni 12

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad