Tundu Lissu: Viatu vya Dk. Slaa Vikubwa Kumpata wa Kuvivaa Ipo Shughuli

Mwanasheria Mkuu wa CHADEMA amesema kuwa viatu vya Dkt. Slaa ni vikubwa, hivyo kupata mtu wa kuvivaa na vikamuenea ni ngumu

Amesema Mwenyekiti wa Chama ndiye mwenye mamlaka ya kumchagua mtu anayeona ana uwezo wa kutosha wa kukiongoza chama kwa nidhamu

Tags

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad