Afande Sele Aungana Na Mbunge Joseph Msukuma Kuitaka Serikali Ihalalishe Matumizi ya Bhangi

Afande Sele
Msanii mkongwe wa hip hop nchini, Afande Sele amefunguka na kusema serikali ihalalishe matumizi ya bangi na si kukosoa juu ya hoja iliyotolewa na mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Msukuma.

Ikiwa imepita siku moja toka mbunge wa Geita Vijijini, Joseph Msukuma (CCM), kusema haoni sababu ya serikali kuzuia bangi kuwa zao la biashara kwa maana haoni madhara yake huku akidai kwamba viroba vina madhara zaidi kuliko bangi, Afande Sele amefunguka na kusema serikali ihalalishe matumizi ya bangi na si kukosoa juu ya hoja hiyo ya Joseph Msukuma.

Afande Sele amedai kuwa kuna nchi ambazo tayari wao wamehalalisha matumizi ya bangi na kuthibitisha kuwa pombe ina madhara makubwa zaidi kuliko bangi.

"Legalize it, Don't criticize it. Korea Kaskazini, Marekani, Mexico Uruguay na mataifa mengine ya Ulaya yamethibitisha pombe ina madhara kuliko Cannabis Sativa" Amesema Afande Sele.

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Afande Sele nae atakuwa mvutaji

    ReplyDelete
  2. Afande Sele nae atakuwa mvutaji

    ReplyDelete
  3. Unauluza karafuu pemba

    ReplyDelete
  4. Huyu sele sasa kachanganyikiwa hivi uoni wenzio walivyopotea na game imewashinda , umempoteza na 20% kwa hizo bangi, ndio maana madee anakuponda Una akili za kuvuka barabara Tu.

    ReplyDelete
  5. Afande Sele nae atakuwa mvutaji

    ReplyDelete
  6. Afande Sele nae atakuwa mvutaji

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad