Kisa Nicki Minaj, Shilole Asaka Ticha wa Kizungu Adai Hali ni Mbaya...

Kwenye ukurasa wake wa Instagram Shilole amendika tangazo akimtaka mtu ambaye ni mwalimu wa lugha hiyo kuwasiliana, ili aweze kuanza mafunzo hayo.

"Anatafutwa mwalimu wa kingereza mzuri, jamani huu sio utani nipo sirias naona hali ishakuwa sio hali soon natakiwa kuonaa na Niki Minaji hivyo lazima nijinoeee, namba ya sm 0653883839", aliandika Shilole kwenye ukurasa wake wa instagram

Shilole anafahamika kwa kutojua lugha ya kingereza, hivyo kuwa gumzo anapoongea lugha hiyo ambayo mara kwa mara huwa anachapia, lakini cha ajabu yeye mwenyewe huwa anafurahia na hajutii kuzungumza lugha hiyo ambayo haijui, kama alivyowahi kutamka neno la "I love is my country", ambalo lilikuwa maarufu na watu kuvutiwa nalo.

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Safi shishi utampata tu na utajua kingereza vzr mi nakupenda unavyojiamini endelea kuongea hata ukikosea hata ukichekwa we chapia tu ndo kujifunza hakuna aliyezaliwa anajua...go shishi

    ReplyDelete
  2. WHERE THERE IS A WILL THERE IS A WAY SO KEEP IT UP YOUNG LADY DON'T YOU BUCKLE AND STUMBLE 'COZ TARGET IS ANYONE AIMING FOR A SUCCESSES RIDE ON BABE

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad