Linnah Afunguka Sababu za Wasanii wa Kike Kutofanya Vizuri Kwenye Game la Bongo Fleva

Kwenye upande wa game la muziki nadhani hii iko world wide kwamba watoto wa kike wako wachache sana,hata kibongo bongo pia,sasa kuhusiana na game la kibongo linah ana sababu zake ambazo anahisi ndizo zinazosababisha watoto wakike hawatusui kibongo bongo lakini.

‘’Tumekuwa hatuko ‘real’ tuna nafikiana sana maneno huyu kampelekea huyu,mara kutengenezeana stori,halafu vitu vingine zinakuwa sio vya kweli,ukiwa karibu na mtu Fulani mwingine anaona bora akakuharibie,kuna vitu vinaendelea chini ya kapeti tunafanyiana sisi wasanii vinakuwa sio poa,hiyo hali inapelekea tunakuwa hatusapotiani,ndio maana muziki wetu hauendelei,hatuna umoja,’’Linnah

Cloudsfm.com

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Sasa mpaka uoneshe picha za makalio w.wake sisi tunakazi mungu atatusaidia

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad