Mapya yaibuka juu ya NEY WA MITEGO adaiwa kujichubua na kuchonga nyusi


Hali imezidi kuwa mbaya baada ya Masnii maarufu Ney wa Mitego kutoa nyimbo yake Mpya ya "SHIKA ADABU YAKO" Ambayo imepelekea nyimbo hiyo kuzua maneno ya kila aina juu ya mashahiri yake yalio wagusa baadhi ya wasanii hapa nchini..


Hata hivyo hali sio nzuri kwenye mitandao ya kijamii baada ya mashabiki wakila pande kutukanana na kutoleana maneno machafu. 


Baadhi ya mashabiki wa Team zilizo chambwa katika wimbo huo wamekuja na madai haya mapya juu ya Ney wa Mitego..

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Wala hajachonga chochote, picha 1 ya zamani ingine ya sasa that's all I see here.

    ReplyDelete
  2. yah tumeona na yeye ni mkongo anatumia mkorogo, tena ye ndio kazidi kabisa nyusi katinda na wanja kapaka. kweli unafiki wake utakuwa wazi wote endeleeni kutuletea mengine.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad