Mbunge Aitaka Serikali ihalalishe Bangi na Mirungi Kama zao la Biashara

Katika hali isiyo ya kawaida Mbunge wa Geita Vijijini"Msukuma, amesema haoni sababu ya Serikali kuzuia bangi na mirungi kuwa zao la biashara maana haoni madhara yake.

Ameenda mbali zaidi kwa kusema wasukuma wakivuta bangi wanalima zaidi na inahitaji uchunguzi ili kuhalalisha mimea hiyo kuwa zao la biashara.

Wewe Una Maoni Gani!
Tags

Post a Comment

9 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. huyu mbunge hatari akapimwe fasta

    ReplyDelete
  2. ajihararishie na familia yake kama inalipa.

    ReplyDelete
  3. Kwa sababu yeye anatumia

    ReplyDelete
  4. namfahamu vizuri mbunge msukuma.huyu bwana ni tajiri wa madini,tajiri mkubwa na ameifadhili na kuisaidia sana ccm kununua wapiga kura kanda ya ziwa.anamiliki pia mashamba ya bangi maeneo kadhaa na HAKAMATWI NA POLISI.yaani ana kinga maalum ya ccm.ni mvuta bangi mzuri sana.siku zote mwili wake unanuka bangi.akisha vuta bangi lake msukuma hutoa jicho jekundu unaweza kumkimbia anatisha,anaanza kuweweseka na kwa nyakati ikimwelemea bangi humujia upenyo huu kwenda haja kubwa ndani ya suruali yake.msukuma ni fedheha,lakini ni shujaa wa ccm.

    ReplyDelete
  5. Nafikiri anatumia unga au anauuza
    Si huyu aliye mkashifu Lowassa yeye makongoro kwenye uchaguzi wa rais

    ReplyDelete
  6. Enter your comment...elimu ziro

    ReplyDelete
  7. huyu mbunge kaongea point. Kweili kabisa serikali isikie hili na ilichukulie hatua mara moja. Tuanze kilimo. Hata mim ninashamba langu nataka kuanzisha ilo zao.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad