Mwimbaji Criss Wamarya Amkimbia Baba Yake Baada Ya Kuugua

Yasemekana kuwa baba wa Criss Wamarya alianza Kuugua tangu mwaka jana, ambapo alifikishwa hospitali ya Mzinga Mjini Morogoro kwa matibabu zaidi.

Inavyo semekana Criss Amemkimbia na kumtelekeza Baba yake mazazi ambae amepata stock ya upande moja wa kulia inavyosemekana mwanzo alikuwepo lakin gafla akunekana akiwa pamoja na familya hiyo kumuuguza mzee yake.

Kwa sasa amepelekwa mtwara kutibiwa uko na familya inamlaum Criss kwa kutomjali mzazi wake na ikiwa yeye ndio mtoto wakiume kati ya dada zake nne.
Ata hivyo Criss wamarya ajaenda ata Mtwara kwenda kumuuguza baba yake na hali hiyo inaleta maswali mengi kwa familia yake.

Ila wengi wao wakipita mitaani wanasikia nyimbo zake kwakuona Criss wamarya ajali jambo linalo msibu baba yake ambaye sasa yupo kitandani na hapo hapo akiwaameachia wimbo mpya unaoitwa Pepea ambao amemshirikisha Madee na kuacha kumuuguza baba yake mzee.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad