Nay wa Mitego Mahakamani Baada ya kuwaponda Bongo Movie?..U Heard (+Audio)

Febr 03 2016 nakukutanisha na Soudy Brown kwenye U heard ya Clouds fm ambapo leo anazungumzia ishu ya Mbongo Fleva Nay wa Mitego kufuatia mistari yake kwenye baadhi ya nyimbo kuwadiss Wasanii wa Bongo Movie na sasa wanataka kumpeleka Mahakamani.

Full stori ipo kwenye hii sauti hapa chini;

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad