Siri Imefichuka..Kumbe Rwanda ilitoa Mafunzo ya Kijeshi kwa Wakimbizi wa Burundi Wamwondoe Nkurunziza Madarakani

Ripoti ya siri ya Umoja wa Mataifa(UN): Rwanda ilitoa mafunzo ya kijeshi kwa wakimbizi wa Burundi wamwondoe Nkurunziza madarakani.

Burundi imekabiliwa na machafuko tangu mwezi Aprili 2015, wakati Rais Pierre Nkurunziza alipotangaza kwamba atawania muhula wa tatu wa urais, ambao alishinda.

Akijibu madai hayo, waziri wa maswala ya kigeni nchini Rwanda Louise Mushikiwabo amesema kuwa mgogoro huo wa Burundi ni mzito na wa kujitakia miongoni mwa viongozi wa Taifa hilo na kwamba jamii ya kimataifa inafaa kuuangazia na kuwacha kutafuta sababu za kuuepuka. ''Ni Muhimu kuelewa kwamba usimamizi wa wakimbizi wa taifa jirani ni suala gumu, hivyo basi Serikali ya Rwanda imelazimika kuweka sheria kali dhidi ya wakimbizi wa Burundi''. Mushikiwabo amesema kuwa madai hayo yanatokana na hatua ya Rwanda kuwahifadhi wakimbizi wa Burundi ambao wanadaiwa kuwa wapinzani wa Serikali.

Waziri huyo ameongezea: Hatuwezi kuwarudisha wakimbizi hao hadi pale kutakapokuwa na mfumo ambao utalinda maisha yao nchini Burundi

______________________
A United Nations report has accused Rwanda of recruiting and training refugees from Burundi to oust President Pierre Nkurunziza, according to a Reuters news agency report.

Rebel fighters told the UN panel of experts who monitored sanctions on the Democratic Republic of Congo, that the training was done in a forest camp in Rwanda.

“They told the group that they had been recruited in the Mahama Refugee Camp in eastern Rwanda in May and June 2015 and were given two months of military training by instructors, who included Rwanda military personnel,” according to Reuters.

18 Burundian combatants including six children in South Kivu province, in eastern Congo told the experts they were trained in military tactics, use of assault rifles, rocket propelled grenades among others.

Rwanda Ambassador to the UN Eugene Gasana dismissed the claims.

“This further undermines the credibility of the Group of Experts, which seems to have extended its own mandate, but apparently investigating Burundi,” Ambassador Gasana told Reuters.

In December, Burundi had accused Rwanda of supporting a rebel group that was recruiting Burundi refugees in Rwanda but President Paul Kagame dismissed the claims describing it as “childish”.

Source: Reuters

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad