Taswira ya Jengo la Ghorofa 16 Linalovunjwa Dar Baada ya Kukiuka Taratibu


Mafundi ujenzi wakiwa kazini kutekeleza uvunjaji wa jengo hilo lililopo mtaa wa Indira Ghandi jijini Dar.

KAZI ya kuvunja jengo la ghorofa 16 lililojengwa kinyume cha taratibu za kitaalam inaendelea jijini Dar es Salaam katika Mtaa wa Indira Ghandi. Amri hiyo ilitolewa na Mkuu wa Mkoa wa Dar, Said Meck Sadick, kutokana ushauri wa wataalam.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad