Breaking News: Ajali Mbaya Yatokea Msafara wa Wabunge Kamati ya Tamisemi Bagamoyo...Lori Laparamia Msafara Vifo Vitano Vimeripotiwa

Msafara wa Wabunge wa kamati ya Tamisemi wapata ajali katika eneo ya mteremko wa kerege. Watumishi 5 wa Halmashauri ya Bagamoyo na dereva wamefariki ila wabunge wamepona wote. Hii ni baada ya Lori kuparamia msafara wao. Mungu azilaze roho za marehemu mahala pema peponi.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad