CCM Chawafukuza Uanachama Wananchama 25 Kwa Madai ya Kukisaliti Chama Kipindi Cha Uchaguzi Mkuu 2015.

Chama cha Mapinduzi(CCM) Kigoma, chawafukuza uanachama wananchama 25 kwa madai ya kukisaliti chama kipindi cha Uchaguzi mkuu 2015.

Uamuzi huo wa kuwafuta uanachama ulitolewa na kikao cha halmashauri kuu cha Mkoa kilichofanyika tarehe 2 Machi mwaka huu.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad