Godbless Lema Afunguka Baada ya Ezekiel Wenje Kushinda Pingamizi la Mbunge Babula Kwenye Kesi ya Uchaguzi

Mara tu ya Taarifa kusambaa kuwa Aliyekuwa Mbunge wa Nyamagana Mwanza Ezekiel Wenje ameshinda pingamizi lililowekwa na Mbunge Mabula kesi ya uchaguzi Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema Ameandika haya kwenye ukurasa wake wa Facebook:

"Hongera Ezekia Wenje kwa kushinda pingamizi lilowekwa na Mabula kwenye kesi yako ya Uchaguzi ni hatua kubwa ya kurudi bungeni na kuwatumikia wana Mwanza" Godbless Lema

Source:Ntukula Boaz 

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kazi bado pevu UKIWA kushinda kusikilizwa sio ndio kushinda kesi

    ReplyDelete
  2. BRAVO WENJE NYOTA NJEMA HUONEKANA TANGU ASUBUHI. CHAMA CHA SISIEM KIACHE UBABE!!!

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad