HATIMAYE Peter wa P-Square Ajitenga na Kaka Yake na Kuanzisha Management yake

Kundi la P-Square halipo tena. Member wa kundi hilo, Peter Okoye amejitenga na kuanzisha management yake.

Hatua hiyo imekuja baada ya muimbaji huyo kutofautiana na meneja wao, Jude Okoye ambaye ni kaka yake. Jude anaendelea kuwa meneja wa pacha mwingine, Paul. Kupitia Instagram, Peter ameandika:

Work Mood. Thanks for all the love, support and concern pls continue to remain blessed as always. For bookings and enquiries, please contact my new management on 08037531340 [email] bookmrp2@gmail.com ||oyesng@yahoo.com #MrP.

Wakati huo huo Paul ambaye ameanzisha record label yake, Rudeboy Records, amepost picha ya mama yao na kuandika:

Wish you were around, now I understand what these life is without having a mother, you’ve played your part thank you very much mum, miss you.”

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad