Jibu la Mrembo Naj Kuhusiana na Kutoka Kimapenzi na Baraka da Prince...Amkana na Kusema Haya

Msanii bongo fleva Naj amevunja ukimya na kusema kuwa yeye hana mahusiano yoyote ya kimapenzi na msanii Baraka da Prince.

Hatua hiyo imekuja baada ya kuenea habari kuwa anatoka kimpenzi na msanii huyo na kusisitiza kuwa Baraka ni rafiki yake wa karibu na hakuna zaidi.

“Mimi baraka ni mchizi wangu wa karibu sana hakuna mapenzi kati yetu,ila siwezi kubadilisha mawazo ya watu kwa sababu wameshafikiria wanavyojua wao” alisema Naj na kuongeza toka aanze urafiki na baraka wana kama mwezi.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad