MBUNGE wa Bunda Ester Bulaya Akamatwa na Polisi Akiwa Hotelini Jijini Mwanza.....

Ule muendelezo wa kukamata kamata wabunge wa Upinzani umeendelea usiku wa kuamkia Jumamosi kuelekea kwenye kikao cha Kamati kuu na Baadae Baraza kuu la CHADEMA baada ya Polisi wa Mwanza kumkamata Mbunge Ester Bulaya wa jimbo la Bunda mjini akiwa hotelini.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad