Menaja wa Diamond Akosoa Kauli ya Harmonize Kuhusu Rich Mavoko Kusign Mkataba wa Kuwa Chini ya Diamond...Asema Haya

Rich Mavoko bado hajasaini na Wasafi Records, kwa mujibu wa meneja wa Diamond, Sallam.

Awali msanii wa WCB, Harmonize alidai kwenye interview kuwa hitmaker huyo wa Roho Yangu ameshainguka saini na kujiunga kwenye himaya hiyo.

Sallam amelazimika kuweka mambo sawa kupitia Twitter.
Hajakuwa signed Ila Harmonize ameona kuwa Rich alikuwa na mazungumzo na Viongozi akajua ni tayari.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad