Mkoa wa Mwanza Waongoza Kuwa na Watumishi Hewa Wengi Serekalini Ukifuatiwa na Mkoa wa Arusha...Habari Nzima Ipo Hapa

Mkoa wa Mwanza waongoza kuwa na watumishi hewa 334 ukifuatiwa na Mkoa wa Arusha kwa kuwa na watumishi hewa 270 ikiwa nchi nzima na watumishi hewa 2,702.

Hata hivyo Shinyanga na Songwe ni mikoa isiyo kuwa na watumishi hewa. Sababu kubwa iliyoiwezesha smShinyanga kutokua na watumishi ni matokei ya mikakati ya mkoa hu kupeleka majina ya watu wanaostahili kulipwa mishahara kila mwezi.

Akizungumza na Wakuu wa Mikoa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, George Simbachawene aliwataka wakuu wa mikoa wafanye kazi ikiwemo ubunifu wa miradi ya kuongeza mapato.
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Eeeh Mungu!Sasa wajameni hapa ni nani wakulaumiwa?

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad