Msanii wa Uganda Kuhamia Tanzania ili Kusajiliwa WCB Ya Diamond Platnumz

Msanii wa Uganda anayefanya muziki wa rnb ‘Aziz Azion’ ameripotiwa kuhamia Tanzania ili kufanya wimbo na Diamond Platnumz na kujiunga na lebel ya Diamond Platnumz ya Wasafi records.

Mshkaji wa karibu wa Aziz amesema kama jamaa aki saini na Wasafi itabidi ahamie Tanzania.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad