Mshindi wa Big Brother Idris Sultan Atuhumiwa Kuvaa Saa Feki na Kuringishia Watu Mtandaoni...

Page maarufu ya Fake Watch Busta kutoka Mtandao wa Instagram imeibuka na tuhuma kuwa mshindi wa Big Brother Africa 2014 amevaa saa feki , mtandao huo ambao kazi yake ni kuweka wazi mastaa wanaovaa saa feki umeandika haya na kuambatanisha picha hiyo hapo juu....
From @fakewatchbusta - Big Brother Africa winner @idrissultan with the worst fake Richard Mille skull i've ever seen  Skull has meth teeth and ate too much  That Hublot is missing some gold paint on the lugs as well

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad