Navy Kenzo Wanaendelea Kutengeneza Mabomu Kwaajili ya Album yao ijayo, Above in A Minute.


Navy Kenzo wanaendelea kutengeneza mabomu kwaajili ya album yao ijayo, Above in A Minute.likiba na Aika kwenye studio za The Industry

Wiki hii Navy Kenzo wameingia kwenye studio za The Industry kutayarisha wimbo mpya wa ushirikiano na Alikiba. Hiyo inakuwa collabo nyingine kubwa baada ya Game waliyomshirikisha Vanessa Mdee.

Katika hatua nyingine, Vanessa amesema album ya Navy Kenzo ni moto wa kuotea mbali.

Kundi hilo linaloundwa na Nahreel na Aika, linatarajia kuichia album hiyo mwaka huu. Kwa sasa linaendelea na ziara yake iliyopewa jina ‘Kamatia Chini Light Up Tour.’

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad