Baada ya Kujua Mshahara wa Rais, Mtujuze Sasa Mshahara wa Mwenyekiti wa CHADEMA

Hapo Nyuma kulikuwa na Kelele kuhusu mshahara wa Rais.

Watu waligeuza kama ndio hoja ya kuwatoa kimasomaso 
Sasa Jana Rais kavunja mzizi wa fitna na kutuambia anapokea kiasi cha sh. Ml 9.

Niwakati wa Mbowe naye kutuambia hadharani 
Kiasi anacho (jilipa )maana yeye ndie mlipaji 
Ni shilingi ngapi kwa mwezi?

Pia kwakuwa niwakati wa uwazi na Mabadiliko ya ukweli
Atuambie pia malipo ya Makao makuu ya CDM pale ufipa iwe ni kwa mwaka au kwa mwezi ni shilingi ngapi

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Akishataja mshahara wake, na atuambie huyo Lowasa ana cheo gani katika chadema au ndio kilekile cha 'aliyekuwa mgombea uraisi wa chadema kwa ticket ya ukawa'......ppppiiiiiiiipppoooozzzzz PWAAAAAA!!

    ReplyDelete
  2. Mmh, jinsi chadema walivyo 'wasafi' na 'watakatifu' nina uhakika huyo mwenyekiti wao mbowe anajitolea tu kufanyakazi za chama, hapokei mshahara kabisa.....nani anabisha??? subirini.....

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad