Dj Rommy Jones Kwenye Kashfa ya Ubakaji Sweden...


Inasmekana alimbaka mdada wakibongo aishie sweden anaitwa Deborah
Shutuma hizo zimewekwa Instagram katika page mbali mbali zinasema Rommy alikuwa na dada huyu nyumbani kwake na kumuwekea kilevi kwenye kinywaji chake akasinzia na jamaa kufanya yake...
Wadaku wanadai Rommy Jones hakumaliza ziara ya chibu chibude huko ulaya kwani alikimbia soo na chat sms zimewekwa hadharani akiomba msamaha
wambeya wanadai meneja wa diamond aitwaye salaam alikuwa radhi kutoa euro 10,000 ili kuua soo ila bidada akakataa....

Kwa Habari zaidi Ingia Page ya Dougie masta huko insta...
or Jamii Forums

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mtoto wa marehemu George Six fingers kama kweli umebaka baba yako angekuwa yu hai sijui angesemaje kuhusu hilo kuwa makini tunza heshima baba yako alikuwa msafiri mmoja mstaarabu na clean heart sasa wewe iweje unataka kuharibu?Noma hiyo

    ReplyDelete
  2. woote ni wabakaji hata dai aliwahi kubaka uk.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad