Haya Hapa Matokeo ya Mechi ya Azam FC na Esperance ya Tunisia

TIMU ya Azam FC leo imeibuka kidedea kwa kuifunga Esperance ya Tunisia mabao 2-1 kwenye mchezo wa raundi ya pili ya Kombe la Shirikisho Afrika uliopigwa kwenye Uwanja wa Azam Complex jijini Dar.

Mabao ya Azam yamewekwa kimiani na Farid Mussa katika dakika ya 68 na Ramadhan Singano ‘Messi’ aliyefunga bao la pili dakika ya 69 ya mchezo.
Bao la Esperance limefungwa na Haithem Jouini dakika ya 33.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad