Je, Kuna umuhimu wa kuwa na mbio za mwenge kwa sasa?

Ndugu wadau,

Naomba kwa kina tujaribu kuliangalia suala la Mwenge kuendelea kuzunguuka nchi nzima huku zikitumika mamilioni ya fedha.

Je faida ya Mwenge kwa sasa ni nini? Vinginevyo ni vema fedha zinazotumika zikaelekezwa kwenye shughuli za kijamii kama kununua madawati madawa kujenga vyoo n.k.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad