Katibu Mkuu mpya CHADEMA yuko Wapi? Ni Kweli Kiatu Kinampwaya Kama Walivyotabiri Wengi?

Kutokana na kazi ya katibu mkuu wa chama na ukimya uliopo wa katibu mkuu huyu ni vema tukafahamu yupo kweli?

Inawezekana ni mazoea tuliojengewa na katibu mkuu aliejiondoa CDM Dr Slaa ambaye alikuwa ni mtu wakimkakati zaidi,katibu mkuu wa sasa anaonekana kama kiatu kinampwaya.

Maswali haya ni muhimu kwani kama kalala huenda yakamuamsha kutoka usingizini.

Una Maoni Gani?

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad