Mkuu Mpya wa Wilaya Kinondoni Akataa Sherehe ya Pongezi na Kuomba Pesa Hizo zichangie Madawati

Mkuu wa Wilaya Mteule wa Kinondoni amekuwa na kikao na Mkurugenzi Mkuu wa Clouds Media Group Bw. Ruge Mutahaba.
Pia Alipewa nafasi ya kusalimia kwenye kikao cha Management ya Clouds.

Kikubwa Zaidi DC wa Kinondoni Ameandaliwa Sherehe ya kupongezwa na Akakataa Sherehe hiyo na kuwaomba Garama hizo za Sherehe kwa maana ya Chakula na Vinywaji Wachangie Madawani kwa wilaya ya Kinondoni.

Kisha alipata wasaa wakuzungumza ktk Kipindi cha Leo Tena.


Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Yani hii serikali nipowa kweri viongozi wasasa hata zawadi sasa wanazikataa ili mladi tu wamulizishe mheshimiwa
    Mwaka huu tutaheshimiana

    ReplyDelete
  2. Ukikashifu upinzani unapewa cheo

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad