Mwanamuziki Lady Jay Dee Akutana na Ray C Baada ya Miaka Sita...Afunguka Mazito

Mwanamuziki Mkongwe Lady Jay Dee Amefunguka haya kupitia ukurasa wake wa Instagram baada ya kuonana na Mwanamuziki Ray C ambae yuko katika harakati za kuachana na matumizi ya madawa ya kulevya........

From @jidejaydee - 
Thank you for visiting me doll( Ray C)
A message of Hope:
Kila Mtu Anapitia Magumu Katika Maisha
Kwa Njia Tofauti
Hakuna Jaribu Lisilo na Mlango wa Kutokea, Amini na Amua
Nakupa Moyo na Mungu Akusaidie
Kwa Yote Unayopitia
Akuondolee Akuepushie
Na Akupe Kufahamu na Kukiri Mabaya 🏼🏼🏼🏼🏼🏼
Watu Wanakupenda
Nakumbuka Tulivyo Anza
Kimtindo nai miss Competition
Pls Come Back
Naamini Bado Unayo Nafasi
Binti Amka Jikaze Anza Mwendo
Umrembo na Bado Wang'ara 🏻🏻🏻🏻🏻🏻🏻🏻🏻🏻
Ni baada ya miaka 6
Tangu kuonana mara ya Mwisho
Story nazo ni ndefu na nyingi

Ombi:
Tuheshimu na kuhurumia matatizo ya wengine, tafadhali msi comment vibaya wala kwa kejeli.
Lolote linaweza kumfika yoyote
SAA yoyote
Tuonyeshe Mapenzi


Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. big up jidee, u balozi mzuri sana mama, hongera kwa hilo

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad