Rais Magufuli Kaeleza Kwanini Hapendi Sana Kusafiri Nje ya Nchi

Tunajua Rais Magufuli amekuwepo nchini Rwanda kwa ziara ya siku mbili kuanzia April 6 2016 mpaka April 7 jioni aliporudi Tanzania, kwenye moja ya maongezi yake mbele ya Wananchi wa Rwanda ameongea pia kuhusu kwanini hapendi kusafiri nje ya nchi na toka achaguliwe October 2015, amesafiri nje ya nchi kwa mara ya kwanza April 2016.

‘Nataka niwaeleze ndugu zangu, mimi sipendi sana kusafiri kwasababu ninapenda kubana matumizi… nimealikwa sehemu nyingi nimealikwa Ulaya lakini na sehemu nyingine bado sijaenda, nilipoalikwa na Muheshimiwa Kagame nimekuja na ninataka niwaeleze ndugu zangu wa Rwanda hii ndio safari yangu ya kwanza kutoka nje ya Tanzania‘ – Rais Magufuli.

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Jamani rais wa zanzibar lini ataanza kutumbua majipu?

    ReplyDelete
    Replies
    1. kwa majanga haya hawezi kutumbua majipu

      Delete
  2. usiende baba! bana matumizi mpaka kieleweke!

    ReplyDelete
  3. Shikamoo mzee, HAPA KAZI TU, safari waachie hao wanaobadilisha damu kila wiki

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad