Rais Magufuli: Ningejua Kama Urais Ndio Hivi, Nisingegombea

Wakati Muheshimiwa JPM akiwa mapumzikoni kule Chato aliwasiliana na Kardinal Pengo kwa njia ya simu, muheshimiwa JPM inaonekana alifunguka mambo mengi sana ambayo Pengo ameyaminya, ila kubwa alilomueleza ni kuwa kama angejua kazi ya Urais ilivyo ngumu hivi, wala asingethubutu kugombea.

Kardinali Pengo aliishia kumtuliza kwa kumwambia kuwa ni afadhali mtu mmoja afe lakini taifa lisiteketee.

Swali ni, kuna nini kinaendelea nyuma ya pazia huko Magogoni??
Nini maana ya maneno "ni afadhali mtu mmoja afe kuliko taifa kuteketea"?

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Dah!
    Naamini mpaka umefikia kutamka hivyo basi kweli ni ngumu.
    KAZA BUTI KIPENZI CHETU JPJM,TUNAKUOMBEA.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad