Rais Magufuli " Watumishi Hewa Wamejaa Mpaka Ikulu"


Rais Magufuli asema watumishi hewa wamejaa mpaka Ikulu, Ofisi ya Waziri mkuu, Majeshini etc.Amuagiza Katibu mkuu kiongozi kuunda "task force" yenye ulinzi maalumu ku-deal na watumishi hewa.10% ya mishahara yote nchini hulipwa kwa watumishi hewa.Serikali yapoteza Tshs Billioni 54 kwa mwezi, sawa na zaidi ya Billioni 648 kwa mwaka kulipa mishahara ya watumishi hewa.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hayo ndio matunda ya uhuru mtu akipata kazi ya ofisini tu kosa ndio lazima awe mwizi bado safari ni ndefu sana

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad