Staa wa Bongo Movies Cloud Amkacha Mkewe Bongo Akimbilia Sweeden na Kufunga Ndoa na Mwanamke Mwingine

NYOTA wa sinema za Bongo, Issa Mussa ‘Cloud’ amefunga ndoa  tena, lakini safari hii ni kwa siri huko nchini Sweden na mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Mina ambaye amekuwa akimposti kila kukicha mitandaoni kwa kumuita pacha.
Chanzo kilicho karibu na staa huyo kililiambia gazeti hili kuwa, Cloud amemfanyia mbaya mkewe, Cynthia kwa kuamua kuoa kwa siri wakati imani yake inamruhusu kuwa muwazi.
Chanzo kilisema kuwa, awali Cloud alimwambia mkewe wa Bongo kuwa, amepata mfadhili hivyo anakwenda nchini Comoro kupata matibabu ya moyo ambao umekuwa ukimsumbua kwa muda mrefu, kumbe haikuwa hivyo bali alikwenda Sweeden ambapo yupo na mwanamke huyu anaedaiwa kufanya kazi ya uuguzi huko...mkwewe Cloud baada ya kusikia nyeti hizo kwa sasa amerudi nyumbani kwao.....

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Omba mungu utasahau japokua itachukua muda mrefu waombee salama uyo mke mwingine ajue kuna maisha baada ya ndoa pole sana wapo wengi wanaume kama hao mwisho wanaishia kujuta

    ReplyDelete
  2. Hapo anataka matibabu ya bure, trip za ulaya, kula kulala na TV wakati mke anasota kulipa bills. Ngoja Mina akustukie, utalikuta sanduku kwenye corridor. Mke wa bongo wala asinune acha asaidiwe mzigo.

    ReplyDelete
  3. Cloud umekuja Sweeden unaweza kupanga box wewe hapa hakuna wasanii ni box tu.

    ReplyDelete
  4. Yakimchachia huko asilete matako yake sasa kwa mkewe wa bongo, hawa wanaume wanawashwaaa

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad