Web

Waziri Muhongo Apiga Marufuku Wafanyakazi wa Wizara yake Kupewa Bonus

Waziri wa Nishati amekataa wafanyakazi wa wizara yake kupewa bonus akitolea mfano TANESCO hutoa bonus ya kati ya sh milioni 1 hadi milion 50 kwa mtu mmoja. Sasa kama gharama za nguzo moja ni sh laki 3 hivo hela hizo zitatumika kwenye nguzo nyingi sana.

Chanzo: TBC

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hii ndio ile 'kampa, kampa tena'
    tutafika tu ado-ado

    ReplyDelete

Top Post Ad