Baada ya Skendo kubwa ya Usaliti, Pepsi Wametoa Kauli juu ya Tiwa Savage Kuwa Balozi wao

Kampuni ya kinywaji cha Pepsi wamethibitisha kuwa baada ya skendo kubwa ya usaliti iliyomkumba Tiwa Savage, bado msanii huyu ni balozi wa kinywaji hicho.

Nigeria imemuangukia Tiwa Savage kwa tuhuma za usaliti zilizosambazwa mitandaoni na kurasa ya instagram ya mume wake ambaye baadae alisema kurasa hio ilivamiwa.

Siku mbili zilizopita Tiwa Savage alikanusha kumsaliti mume wake na kusema Mume wake TeeBillz alikuwa anahusishwa na uuzaji wa dawa za kulevya na pia anajua amemsaliti na sio mara moja.

Pepsi wameandika hivi"

"@Pepsi_Naija and @TiwaSavage as strong as ever"

Hii inamaanisha kuwa Pepsi na Tiwa Bado wako pamoja hawakutetereshwa na skendo zinazoendelea
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Admin mbona umeingezea mme wake hauzi unga anavuta unga bwana. Nenda YouTube alafu utafsiri vizuri kwa Kiswahili.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad