Bwana Mdogo Mayunga(Mtanzania) Azidi Kung'aa Mziki wa Kimataifa Akishirikiana na Akon

Huyu dogo alishinda tuzo ya "Airtel Talent"(?) pale Nairobi Kenya na baadae akapata offer ya ku-record wimbo na Akon,kabla ya hapo alikuwa ameimba na Mr Blue

Kwa sasa "single" yake aliyomshirikisha Akon imetoka,ni wimbo mzuri,hakika umemvusha dogo toka hatua moja kwenda nyingine.Wimbo mzuri na unasikiliza,"Dont Go Away" ndio habari ya town kwa sasa Usikilize Hapa chini:
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Uwiiii yani bonge la ngomaaa...go go go mayunga sio wengine sifaaaa na mineno ya shombooo...ukisikia yalaaaa limekupata

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad