Diamond Akanusha Kumsaliti Zari na Model wa Video ya Raymond ‘Kwetu’

Diamond Platnumz amekanusha tetesi zilizowahi kuvuma mtandaoni kuwa alimsaliti mpenzi wake Zari na mrembo aliyetumika kwenye video ya wimbo wa msanii wake Raymond, Kwetu.


“Sio kweli, wanahisi hivyo kwasababu ni binti mzuri, wanaamini kwamba kwasababu ni binti mzuri naweza kufanya chochote, kwasababu naonekana kuwa ni maarufu na nina uwezo, Raymon ndio msanii wetu so labda ningeonekana kuwa naweza kuchukua majukumu hayo,” Diamond aliiambia Fahamu TV.

Tetesi ambazo bado zinaendelea kuvuma zilisababisha msichana huyo aitwaye Irene atukanwe na baadhi ya mashabiki.

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Kaka Diamond amua kufunga ndoa ,usizaezae bila ndoa .

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad