Jamaa Aliyejitosa Zoo Aliwe na Simba Laivu Alikuwa Anadai Mwisho wa Dunia Umefika...

Inasikitisha kwakweli, ameokolewa.... na simba walioanza kumla waliuwawa. aliingia kwenye jumba la simba akavua nguo na kuwadandia badae akachenjiwa...kwenye nguo zake kimekutwa kikaratasi-suicide note...kwamba mwisho wa dunia umefika kwahiyo anajiwahi.....ana miaka 20...inaonekana alikua muumini maana alikua akimtaja yesu....walioshuhudia wamesema....nchini Chile.

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad