Jamal Lyon Hatoondoka Kwenye Empire Kama ilivyoripotiwa, Hii ni Sababu

Wiki hii mashabiki wa tamthilia ya Empire walisikitishwa na tweet ya Jussie Smollett anayejulikana kama Jamal Lyon kwenye tamthilia hiyo kuwa atajiondoa.

“I’ve thoroughly enjoyed my time w/ @EmpireFOX. I love you all. Truth. Time 2 make a record & some movies. #Empire,” alitweet muigizaji huyo.

Hata hivyo ripoti zimedai kuwa Smollett haondoki kwenye show hiyo kwasababu bado yupo kwenye mkataba. Tweet hiyo ilikuja baada ya episode mpya ya series hiyo kuonesha Smollett akipigwa risasi na kupelewa hospitali.

Tetesi zinadai kuwa muigizaji huyo anaondoka kwasababu ombi lake la kuongezewa malipo limepuuzwa na FOX.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad