Mama wa Msanii Tupac Ambaye pia ni Mwanaharakati Afeni Shakur Davis Amefariki Dunia

Mama mzazi wa legendary rapa Tupac Shakur amefariki dunia akiwa na miaka 69,Kifo cha Afeni Shakur kimethibitishwa May 3 na taarifa zilitolewa na Polisi wa Marin County mjini California.Ujumbe wa polisi unasema Mama yake Tupac amefariki usiku wa May 2.

KRON wameripoti kuwa alipatwa na mshtuko wa moyo nyumbani kwake San Francisco na kupelekwa hospitalini mida ya  9:45 p.m. nakutangazwa amefariki mida ya 10:30 p.m.

Afeni Shakur alikuwa kwenye harakati za mwisho za kuchukua talaka kutoka kwa mume wake wa miaka 12 Gust Davis.

mama 2 pac 1 mama 2 pac 2

Afeni Shakur kwenye ujana wake alikuwa anatumia dawa za kulevya aina ya Crack na alihusishwa na kundi la vijana la Black Panther.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad