Mchezaji wa Azam Farid Musa Aliyoko Spain Kwa Majaribio Awakosha wa Spain...Tazama Picha Hapa


Kinda wa Azam FC Farid Musa anaendelea kufanya vizuri kwenye majaribio nchini Hispania akiwa na Club Deportivo Tenerife inayoshiriki ligi daraja la kwanza ‘Segunda Division’.

Yusuf Bahkhesa ambaye ameambata na Farid Musa nchini humo ametoa updates za hapa na pale kuhusu yote yanayomuhusu Farid katika majaribio yake.

Kwa mujibu wa Yusuf Bahkhesa, Farid ameshafanyiwa vipimo vya afya baada ya kuwavutia viongozi wa benchi la ufundi la Tenerife linaloongonzwa na kocha mkuu wa timu hiyo  Jose Luis Mart.



Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad