Mwanamuziki JUMA JUX Ametoka na Muonekano Mpya...Tazama Picha Hapa

Kama wewe utakuwa mpenzi wa kufuatilia style za wasanii kuanzia mavazi mpaka Life style zao basi hii isikupite mtu wangu May 19 2016 msanii kutoka kiwanda cha bongoflevani Juma Jux amezichukua headline kutokana na muonekano wake mpya wa nywele.

Jux aliyaandika maneno haya chini ya picha aliyopost kwenye mtandao wake wa Instagram:

’Sometimes you have to believe in yourself and do what you want, uwezi kupendwa na wote na uwezi kumfuraisha kila mtu #jiamini #hapo #wivu #aftricanboy‘ Usisahau kuniachia comment yako hapa mkali huyu ataiona.

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad