Mwimbaji Baraka De Prince Atoa Masharti Kama Unataka Kushirikiana Naye Katika Wimbo Wako

Mwimbaji Baraka De Prince Amefunguka na kusema kuwa ili ufanye nae Collabo kwenye wimbo wako ni lazima kwanza ausikilize wimbo wako alafu aupende , asipoupenda hata umpe hela yoyote hawezi fanya Colloba na wewe, Ameongeza kwa kusema kuwa hata kama ukipitia kwa management yake kama wimbo ni mbaya hafanyi Collabo....

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad