Picha: Nyota Ndogo Afunga ndoa na Mchumba wake Raia wa Denmark

Muimbaji wa Kenya, Mwanaisha Abdalla maarufu kama Nyota Ndogo amefunga ndoa weekend hii.

Muimbaji huyo wa ‘Watu na Viatu’ sasa ni mke halali wa mchumba wake Henning Nielsen raia wa Denmark.

“My great day love you all
I thank Allah
#wedding
#love
#world,” ameandika.

Nyota Ndogo mwenye makazi yake mjini Mombasa ameshare picha hizo akiwa na mume wake kwenye Instagram.

“I love my husband Henning Nielsen
#myday
#we,” ameandika kwenye picha nyingine aliyoipost kwenye mtandao huo.


Muimbaji mwenzake wa Kenya, Akothee amempongeza kwa kuandika: akotheekenya Congratulations mrembo I wish you a happy life with your family @nyota_ndogo.”

Huyo anakuwa mume wake wa pili baada ya kuachana na mume wake aliyezaa naye watoto wawili.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad