Rais Magufuli na Mkewe Waguswa na Stori ya Mwanafunzi wa Chuo Kikuu Aliyepofuka Macho..Waamua Kumchangia Mil 10 Akatibiwe


Baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania DktJohn Pombe Magufuli, Mkewe Mama Janeth Magufuli na familia yake kuahidi kuchangia Milioni 10 kwaajili ya matibabu ya #Kipepeo Bernadeta Msigwa mwakilishi kutoka ofisi ya Rais Bw. Ngusa Samike amefika katika ofisi za CloudsMediaGroup na kukabidhi fedha hizo. Vilevile Mheshimiwa Rais ametoa ujumbe kwa Kipepeo Bernadeta kuwa amtumainie Mungu kwani ndiye muweza wa kila kitu. Katika upande mwingine Naibu wa Waziri wa Wizara ya Kazi, Vijana na Ajira Mh. Anthony Mavunde amechangia Shilingi Milioni 1.
Kama umeguswa na unahitaji kuchangia au unataka maelezo zaidi kuhusu jinsi ya kumsaidia piga namba 0742848729. Pia unaweza kuangalia story yake kamili kwenye account hii ya Instagram@BernadetaMsigwa.
Asante sana Mh. Rais Dkt. John Pombe Magufuli
Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. JPJM..THANK YOU FOR THE CARE WHICH YOU HAVE DEMONSTRATED..WE DO UNDERSTAND YOU LOVE US ALL..THIS IS A TOKEN TO PROVE THAT..MUNGU AKULINDE.ASANTE

    ReplyDelete
  2. JPJM..THANK YOU FOR THE CARE WHICH YOU HAVE DEMONSTRATED..WE DO UNDERSTAND YOU LOVE US ALL..THIS IS A TOKEN TO PROVE THAT..MUNGU AKULINDE.ASANTE

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad