Ray Kigosi Apata Shavu Nchini Rwanda

Msanii wa filamu, Vincent Kigosi ‘Ray’ hivi karibuni ametimkia nchini Rwanda baada ya kualikwa nchini humo kwa ajili ya kuandaa filamu maalum ambayo itashirikisha wasanii wa Tanzania na Rwanda.

Kupitia instagram, Ray ameandika:
Nipo nchini Rwanda nimekuja kushoot movie inayoshirikisha nchi mbili Tanzania na Rwanda ni msanii pekee toka Tanzania niliyechaguliwa kuja kufanya movie hapa nchini Rwanda nina imani sitowaangusha Watanzania wenzangu hapa ni kazi tu.
Katika hatua nyingine leo ni siku ya kuzaliwa ya Vincent Kigosi, ambapo wasanii mbalimbali pamoja na mashabiki wake wa filamu wamekuwa wamtakia heri.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad