Serikali Yaifungia Kuandikisha Wanafunzi Shule ya Al Muntazir Kwa Kupandisha Ada na Kutoza Faini

Serikali imeifungia kuandikisha wanafunzi kwa vidato vya kwanza na tano shule ya Al Muntazir iliyopo jijini Dar es salaam kwa kupandisha ada kinyume cha taratibu na Wizara ya elimu.

Pia shule hiyo imetuhumiwa kuwatoza faini wazazi wanaochelewa kulipa ada.

Ikumbukwe kuwa mwanzoni mwa mwaka huu serikali serikali ilipiga marufuku shule binafsi kupandisha ada kiholela na ikiwa shule inataka kufanya hivo ilitakiwa kuomba kibali kwa kamishna wa elimu.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad