Serikali Yasalimu Amri..Yaipa NIDA Sh Bilion 2.3 Kulipa Watumishi 597 Waliosimamishwa Kazi


Serikali imeipa Shilingi Bilioni 2.3 Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa(NIDA), kwa ajili ya kuwalipa watumishi 597 waliosimamishwa kazi.

Malipo hayo yanahusisha mishahara yao ya miezi minne, ukiwemo mshahara wa mwezi mmoja wa notisi ya kusimamishwa kazi, pamoja na malimbikizo ya madeni yao katika mifuko ya hifadhi ya jamii.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad