Tanzia: Mchekeshaji Maarufu Bongo Afariki Dunia..


Mchekeshaji aliyekuwa anakuja juu kwa kasi Mohammed Abdallah "KINYAMBE" amefariki dunia leo usiku huko nyumbani kwako Mbeya. Mmoja wa wanandugu wa Kinyambe ameithibitishia Saluti5 kuwa msanii huyo wa filamu  ambaye pia alikuwa akijulikana kwa jina la James, amefariki baada ya kuugua kwa siku kadhaa.
R.I.P KINYAMBE
Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. TULIKUPENDA LAKINI MWENYEZI MUNGU KAKUPENDA ZAIDI.
    PUMZIKA KWA AMANI.

    ReplyDelete

Top Post Ad

Below Post Ad