Ushauri kwa Mr Hashim Lundenga, Jitoe Miss Tanzania. Huaminiki tena

Nimeona kwenye habari hashim lundenga anaomba serikali imsaidie kutafuta wafadhili wa Miss Tanzania..

Kama yupo humu au jamaa yeyote aliyopo humu amfikishie huu ushauri.

Ni vizuri akakaa pembeni ya Miss Tanzania maana hakuna kampuni yeyote yenye akili itakayotoa pesa zake kwa Miss Tanzania ya lundenga...

Seke seke la Siti mtemvu ni kubwa sana limemvunjia sana trust... na kurudisha trust sio kazi ndogo.

Hata kama Lundenga anategemea shughuli za Miss Tanzania kupata hela yake ya kuishi... ni vizuri akatumia.mbinu za yeye kukaa pembeni na kuweka sura nyingine kama mwandaaji kwa ajili ya kupata trust ya mashabiki na wadhamini...

Ila yeye kama yeye mzee lundenga na skendo ya Siti Mtemvu hawezi fanikiwa tena kama enzi zile za zamani

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad

Below Post Ad